National Institute of Transport - NIT

LATEST NEWS

Fri, 03 Oct 2025 | 09:44 AM

πŒπŠπ”π” 𝐖𝐀 π‚π‡π”πŽ π€π™πˆππƒπ”π€ π‘π€π’πŒπˆ ππŽππ€ππ™π€ 𝐋𝐀 π–π€π…π€ππ˜π€πŠπ€π™πˆ ππˆπ“.

National Institute of Transport - NIT

Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Mha.Dkt. Prosper Mgaya, amezindua rasmi Bonanza la Michezo la Wafanyakazi kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa NIT.

Bonanza hilo limefanyika Septemba 22, 2025, katika viwanja vya Chuo vilivyopo Mabibo jijini Dar es Salaam likihusisha michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa kikapu, kuvuta kamba, kufukuza kuku na mazoezi ya viungo vya mwili.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Dkt. Mgaya alieleza kuwa lengo la bonanza hilo ni kuimarisha mshikamano na ushirikiano miongoni mwa wafanyakazi, pamoja na kuchangia katika kuboresha afya na ustawi wa wanajumuiya wa NIT.

“Lengo letu ni kuongeza ari ya utendaji kazi kupitia michezo, afya njema na mshikamano baina ya watumishi na jamii ya Chuo kwa ujumla,” alisema Dkt. Mgaya.

Aidha, Dkt. Mgaya aliahidi kufanyia kazi mapendekezo yote yaliyotolewa na Kamati ya Maandalizi ya bonanza hilo, hususa ni kuhusu ukarabati wa miundombinu ya michezo Chuoni .

Bonanza hili ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya mafanikio ya Chuo katika kutoa mafunzo mbalimbali katika sekta ya usafirishaji.

Latest News

National Institute of Transport - NIT

ππˆπ“ 𝐋𝐀𝐔𝐍𝐂𝐇𝐄𝐒 𝐄𝐀𝐒𝐀 π“π‘π€πˆππˆππ† ππ‘πŽπ†π‘π€πŒ

Oct. 7, 2025, 5:34 p.m.

National Institute of Transport (NIT) in collaboration with Aerolink Solutions Ltd and in cooperation with the Athens Aviation Training Organization (AATO) has officially launched EASA Program at the National Institute of Transport.

The inauguration ceremony was held at NIT on 7th October, 2025 aiming at nurturing a new generation of highly skilled and internationally certified aircraft maintenance engineers.

The inauguration was officiated by Director General of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) Mr. Salim Msangi as the guest of honor for the event. In his address during the launching ceremony Mr. Msangi congratulated the Institute for the remarkable achievement. He further stressed that NIT should continuously strive to have qualified instructors and state of art training facilities inorder to realize it's desired vision of becoming world class hub for aviation training.

On his side the NIT Resctor Eng.Dr.Prosper Mgaya thanked the Government of the United Republic of Tanzania under the leadership of the President Hon.Dr.Samia Suluhu Hassan for enabling NIT to reach the milestone.
"We are grateful to the Government for the tremendous support we have received, without their support we could not be able to attain this important achievement”.