National Institute of Transport - NIT
Bonyeza Kuthibitisha

ALL NEWS

All News

National Institute of Transport - NIT

KUWASILISHA MAOMBI YA KUISHIΒ  KATIKA HOSTELI ZA CHUO

Oct. 4, 2024, 10:48 a.m.

 

 

 

KWA KUWASILISHA MAOMBI YA KUISHI  KATIKA HOSTELI ZA CHUO 

BONYEZA HAPA https://sims.nit.ac.tz/

 

KOZI YA WATOA HUDUMA KWENYE MABASI

Sept. 13, 2024, 3:35 p.m.

National Institute of Transport - NIT

NIT YATOA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI KWA WANAFUNZI WA UDEREVA WA AWALI VETA

Aug. 30, 2024, 9:04 a.m.

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda Katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kitengo cha Elimu ya Usalama Barabarani kimetoa Mafunzo ya Usalama Barabarani Mkoani Dodoma.

Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 29.8.2024 Mkoani Dodoma wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kwa wanafunzi wanaosomea udereva wa awali - VETA Dodoma.

Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea wanafunzi hao uwezo katika masuala ya usalama barabarani ikiwemo ukaguzi wa magari, udereva wa kujihami,sheria na kanuni za usalama barabarani,alama na michoro barabarani nk.

National Institute of Transport - NIT

NIT YATOA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI KWA SHULE ZA MSINGI KUMI NA MOJA (11)

Aug. 30, 2024, 9:01 a.m.

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda Katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kitengo cha Elimu ya Usalama Barabarani kimetoa Mafunzo ya Usalama Barabarani Mkoani Dodoma.

Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 28.8.2024 na 29.8.2024 wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kwa wanafunzi wa shule za msingi kumi na moja(11) ikiwemo shule ya msingi Mazengo ,Kikuyu,Amani,Mlezi, Mlimani, Makole, Kizota, Chadulu, Mlimwa, na Kisasa.

Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea wanafunzi hao uwelewa wa matumizi sahihi ya barabara.

National Institute of Transport - NIT

NIT YATOA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI YA MIZIGO (HGV)-DODOMA

Aug. 30, 2024, 8:59 a.m.

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda katika Usalama Barabarani (Regional Centre of Excellence for Road Safety) imetoa Mafunzo ya Udereva wa Magari ya Mizigo (HGV) kwa madereva kumi na nne (14).

Mafunzo hayo yameanza tarehe 19.08.2024 na yanatarajia kumalizika tarehe 31.08.2024 katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Mkoani Dodoma

Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo na umahiri madereva hao katika kuendesha magari ya mizigo kwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani.

National Institute of Transport - NIT

π—‘π—œπ—§ π—¬π—”π—œπ—•π—¨π—žπ—” π— π—¦π—›π—œπ—‘π——π—œ π—ͺ𝗔 π—žπ—ͺ𝗔𝗑𝗭𝗔 π—žπ—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ π— π—”π—’π—‘π—˜π—¦π—›π—’ 𝗬𝗔 π—žπ—’π—‘π—šπ—”π— π—”π—‘π—’ π—Ÿπ—” π—§π—œπ—¦π—” π—Ÿπ—” π—ͺπ—”π—›π—”π—‘π——π—œπ—¦π—œ π—ͺ𝗔𝗑𝗔π—ͺπ—”π—žπ—˜ π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” (𝗧𝗔π—ͺπ—˜π—–π—˜)

Aug. 30, 2024, 8:57 a.m.

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimeibuka mshindi wa kwanza (1) kati ya Taasisi kumi na moja(11) za Elimu ya Juu ambazo zimeshiriki kwenye maonesho ya kongamano la tisa 9 la wahandisi wanawake Tanzania (Tawece) na kukabidhiwa tuzo ya mshindi wa kwanza.

Kongamano hilo limefanyika jijini Dar es salaam katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center (JNICC) kuanzia tarehe 21 hadi 22 Agosti,2024.

Mkuu wa Idara ya π™€π™‘π™šπ™˜π™©π™§π™€π™£π™žπ™˜π™¨ 𝙖𝙣𝙙 π™π™šπ™‘π™šπ™˜π™€π™’π™’π™ͺπ™£π™žπ™˜π™–π™©π™žπ™€π™£ π™€π™£π™œπ™žπ™£π™šπ™šπ™§π™žπ™£π™œ Bi. Grace Kibweja amepokea tuzo hiyo ya mshindi wa kwanza kwa niaba ya Mkuu wa Chuo.

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Aug. 12, 2024, 6:05 p.m.

Online Registration for the 2nd International Conference on Transport, Logistics, and Management

July 24, 2024, 9:33 a.m.

DIRISHA LA UDAHILI KWA NGAZI YA SHAHADA LIMEFUNGULIWA BONYEZA HAPA KUJISAJILI

July 17, 2024, 9:31 a.m.

National Institute of Transport - NIT

CPA AND CPSP REVIEW CLASSES REGISTRATION FORM

July 5, 2024, 2:03 p.m.

The National Institute of Transport (NIT) is offering intensive review classes to help you prepare for the Certified Public Accountant (CPA) and Certified Procurement and Supply Professional (CPSP) examinations in November 2024.

For registration, please click the link https://shorturl.at/sBYpq

 

For payment purposes contact the coordinators: 

Head CPD Mobile: +255713323370 or Assistant Head CPD Mobile +255719589955

Email: head.cpd@nit.ac.tz