Wed, 05 Jun 2024 | 12:06 PM
Mkuu wa Chuo Dkt. Prosper Mgaya (wa pili kutoka kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Ubongo Muhimbili MOI (wa pili kushoto) wakionesha Mikataba ya ushirikiano kwa waandishi wa habari baada ya kuingia makubaliano ya kushirikiana kutokomeza ajali za Barabarani nchini, tarehe 4 Juni,2024.
Ushirikiano huo utasaidia kwanza kuimarisha eneo la huduma ya kwanza pale ajali inapotokea lakini pia ushirikiano huu utasaidia kupatikana kwa takwimu sahihi za ajali za barabarani kwani majeruhi wengi wa ajali hizi wanatibiwa katika hospital ya MOI.