Oct. 4, 2024, 10:48 a.m.
Sept. 13, 2024, 3:35 p.m.
Aug. 30, 2024, 9:04 a.m.
Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda Katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kitengo cha Elimu ya Usalama Barabarani kimetoa Mafunzo ya Usalama Barabarani Mkoani Dodoma.
Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 29.8.2024 Mkoani Dodoma wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kwa wanafunzi wanaosomea udereva wa awali - VETA Dodoma.
Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea wanafunzi hao uwezo katika masuala ya usalama barabarani ikiwemo ukaguzi wa magari, udereva wa kujihami,sheria na kanuni za usalama barabarani,alama na michoro barabarani nk.
Aug. 30, 2024, 9:01 a.m.
Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda Katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kitengo cha Elimu ya Usalama Barabarani kimetoa Mafunzo ya Usalama Barabarani Mkoani Dodoma.
Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 28.8.2024 na 29.8.2024 wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kwa wanafunzi wa shule za msingi kumi na moja(11) ikiwemo shule ya msingi Mazengo ,Kikuyu,Amani,Mlezi, Mlimani, Makole, Kizota, Chadulu, Mlimwa, na Kisasa.
Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea wanafunzi hao uwelewa wa matumizi sahihi ya barabara.
Aug. 30, 2024, 8:59 a.m.
Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda katika Usalama Barabarani (Regional Centre of Excellence for Road Safety) imetoa Mafunzo ya Udereva wa Magari ya Mizigo (HGV) kwa madereva kumi na nne (14).
Mafunzo hayo yameanza tarehe 19.08.2024 na yanatarajia kumalizika tarehe 31.08.2024 katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Mkoani Dodoma
Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo na umahiri madereva hao katika kuendesha magari ya mizigo kwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani.
Aug. 30, 2024, 8:57 a.m.
Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimeibuka mshindi wa kwanza (1) kati ya Taasisi kumi na moja(11) za Elimu ya Juu ambazo zimeshiriki kwenye maonesho ya kongamano la tisa 9 la wahandisi wanawake Tanzania (Tawece) na kukabidhiwa tuzo ya mshindi wa kwanza.
Kongamano hilo limefanyika jijini Dar es salaam katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center (JNICC) kuanzia tarehe 21 hadi 22 Agosti,2024.
Mkuu wa Idara ya ππ‘πππ©π§π€π£πππ¨ ππ£π πππ‘πππ€π’π’πͺπ£ππππ©ππ€π£ ππ£πππ£πππ§ππ£π Bi. Grace Kibweja amepokea tuzo hiyo ya mshindi wa kwanza kwa niaba ya Mkuu wa Chuo.
Aug. 12, 2024, 6:05 p.m.
July 24, 2024, 9:33 a.m.
July 17, 2024, 9:31 a.m.
July 5, 2024, 2:03 p.m.
The National Institute of Transport (NIT) is offering intensive review classes to help you prepare for the Certified Public Accountant (CPA) and Certified Procurement and Supply Professional (CPSP) examinations in November 2024.
For registration, please click the link https://shorturl.at/sBYpq
For payment purposes contact the coordinators:
Head CPD Mobile: +255713323370 or Assistant Head CPD Mobile +255719589955
Email: head.cpd@nit.ac.tz