National Institute of Transport - NIT

ALL NEWS

All News

National Institute of Transport - NIT

NIT has received two Cessna Skyhawk 172 aircraft for Pilot Training

April 16, 2024, 10:54 p.m.

The Vice-President, Honorable Dr. Philip Mpango has handed over two single-engine aircraft, Cessna Skyhawk 172 to the National Institute of Transport(NIT) aiming at sustaining Centre of Excellence in Aviation and Transport Operations at the Institute. Speaking during the inauguration ceremony held at JNIA Terminal One, the Vice President said in 2021, the Sixth Phase Government under the strong leadership of Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan enabled the NIT to enter into a contract for the purchase of two Cessna 172 Skyhawk training aircraft, single-engine from Textron Aviation Inc. of the United States. Dr.Mpango said the planeswill be used in pilot training – (Private Pilot License) which takes 6 months and Commercial Pilot License (CPL) training which takes 12 months. "The government has allocated funds to strengthen the National Institute of Transport so that they can provide training in Aircraft Maintenance Engineering, Flight Operations as well as Cabin Crew for TCAA Certifications. The goal is to produce enough human resources in the aviation industry who willserve in various airlines including the ATCL," Dr. Mpango said. He insisted: "In order to increase the effectiveness of the Institute to provide pilot training, in June 2023, the Government has enabled NIT to enter into a contract with United States' Textron Aviation Inc for the purchasing of another aircraft with two engines type Beechcraft Baron G58. The plane is expected to arrive in the country in the third quarter of the 2024/2025 financial year".

DRIVING SHORT COURSES ACTION PROGRAMME FROM JANUARY – JUNE, 2024.

April 16, 2024, 9:40 p.m.

National Institute of Transport - NIT

MKUU WA CHUO AFANYA ZIARA KUTEMBELEA MIRADI YA CHUO

March 16, 2024, 12:28 p.m.

Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji Dkt. Prosper Mgaya leo tarehe 15.3.2024,amefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya ujenzi ambayo Chuo inaendelea kutekelezwa katika kampasi ya Chuo Mabibo jijini Dar es salaam. Dkt. Mgaya ametembelea miradi kadhaa ikiwemo mradi wa ujenzi wa mabweni mawili ya wanafunzi, ujenzi wa jengo la kituo cha umahiri cha mafunzo ya anga na operesheni za usafirishaji, ujenzi wa jengo la mafunzo ya wahudumu wa ndani ya ndege, ujenzi wa maabara ya kisasa, ujenzi wa uzio wa Chuo na ukarabati wa maktaba ya Chuo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo Dkt. Mgaya amewasisitiza wakandarasi kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa majengo hayo kwa wakati ambao pande mbili zimekubaliana.

National Institute of Transport - NIT

DKT. PROSPER MGAYA AWASILI RASMI CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI

March 16, 2024, 12:27 p.m.

Dkt. Prosper Mgaya amewasili rasmi Chuoni leo tarehe 14 Machi,2024 na kukutana na Menejimenti ya Chuo. Akizungumza na Menejimenti ya Chuo Dkt.Mgaya amesisitiza dhamira yake ya kufanya kazi kwa kushirikiana kwa weledi na ubunifu ili kutimiza malengo ya Chuo. ‘’NIT ni Chuo cha kisekta, hivyo jamii na Serikali ina matarajio makubwa na Chuo chetu kwahiyo tuna kazi kubwa ya kufanya ili kukidhi matarajio hayo …. Tujipange wote kwa pamoja ili tuweze kusonga mbele na uwezo wa kufanya hivyo tunao”. Dkt. Mgaya amesema kuwa kazi ya kiongozi ni kutambua na kutumia uwezo wa watu alionao na kuendelea kurekebisha mapungufu yao, hivyo amewataka Viongozi wa Chuo kuwatazama watumishi wao katika muktadha huo ili kufanikisha malengo ya Chuo. Amewasihi Viongozi kufanya kazi kwa ushirikiano na kutambua mchango wa kila mmoja kwasababu hakuna anayeweza kufanikisha malengo ya Taasisi akiwa peke yake. Amesisitiza kila mmoja afanye kazi yake kwa uadilifu na juhudi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 4 Machi 2024 alimteua Dkt. Mgaya kuwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). Dkt. Mgaya anachukua nafasi ya Prof.Zacharia Mganilwa ambaye alimaliza muda wake wa utumishi wa umma mwezi Novemba, 2023, na nafasi hiyo kukaimiwa na Dkt. Zainabu Mshana ambaye ni Naibu Mkuu wa Chuo – Mipango Fedha na Utawala, kabla ya uteuzi huo Dkt. Mgaya alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa VETA

National Institute of Transport - NIT

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI - KIGAMBONI

March 16, 2024, 12:26 p.m.

NIT katika Sherehe kuadhimisha ya Siku ya wanawake duniani, Mjimwema Kigamboni.

National Institute of Transport - NIT

UFUNGUZI WA MAFUNZO YA UKAGUZI WA BARABARA SALAMA KANDA YA KATI -DODOMA

March 16, 2024, 12:25 p.m.

Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule, amefungua mafunzo ya ukaguzi wa barabara salama kanda ya kati siku ya Jumanne tarehe 05 Machi,2024. Akifungua Mafunzo hayo Mhe.Rosemary Senyamule amesema kila mmoja akipata jambo anahisi yupo peke ake wakulishughulikia kumbe sio hivyo kuwepo kwa wadau mbalimbali kwenye haya mafunzo ni dhahiri kuwa kila mmoja wetu anayo nafasi na tukikaa kwa pamoja tukakubaliana na tukishirikiana basi tutaweza kufika kwenye urahisi wa kuzuia changamoto za ajali zinazotokea na kuleta usalama barabarani kama ilivyo lengo la mafunzo haya kwa kila mmoja kutimiza wajibu wake Naye Kaimu Mkuu wa Chuo Dkt.Zainabu Mshana wakati akitoa hotuba yake alieleza kuwa msukumo wa kutoa mafunzo hayo umetokana na ongezeko la matukio ya vifo yanayotokana na ajali barabarani takwimu inaonesha kuwepo kwa idadi kubwa ya watu kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa hususa ni vijana umri mdogo ambao ndio nguvu kazi kwa Taifa letu hivyo basi, Chuo kimejipanga kuwajengea uwezo wataalamu wakutoa elimu kwa jamii kama Taifa tuweze kupunguza kabisa ajali za barabarani Tanzania bila ajali inawezekana. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kupitia Mradi wa East Africa Skills for Transformation and Regional Integration (EASTRIP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia umeweza kufanikisha Mafunzo ya Ukaguzi Barabara Salama yanayoendelea kufanyika katika Kanda mbalimbali nchini.